HATI YA UANZISHAJI WA BODI YA MFUKO WA ELIMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MWAKA 2020
Hati hii jina lake ni Hati ya Uanzishaji wa Bodi ya Mfuko wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya ya .......... ya mwaka 2020, na itaanza kutumika baada ya kuchapishwa katika Gazeti la Serikali.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Act or statute
- Citation
- HATI YA UANZISHAJI WA BODI YA MFUKO WA ELIMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MWAKA 2020
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Publicly available, excluded from search-engine indexing
This page remains available for direct access and API use, but this release emits
noindex,follow for the following reason:
- The record does not meet this release's canonical indexing criteria.
(market-indexing-disabled)
Statute overview
About this statute
Hati hii jina lake ni Hati ya Uanzishaji wa Bodi ya Mfuko wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya ya .......... ya mwaka 2020, na itaanza kutumika baada ya kuchapishwa katika Gazeti la Serikali. This section defines key terms used in the Hati, unless it says otherwise. This provision creates the Council’s Education Fund Board and lists its members. Bodi ina majukumu ya kusimamia Mfuko wa Elimu na kazi zake za kupanga, kuidhinisha, kushauri, kugawa misaada, kufadhili, na kusimamia utekelezaji wa shughuli za elimu. Bodi inaweza kuunda kamati yenye baadhi ya wajumbe ikiwa itaona hiyo ni muhimu kwa utekelezaji wa majukumu yake.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of HATI YA UANZISHAJI WA BODI YA MFUKO WA ELIMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MWAKA 2020
Showing 35 of 35
- 1 Verify source ↗
Hati hii itajulikana kama Hati ya Uanzishaji wa
AI-assisted research summary: Hati hii jina lake ni Hati ya Uanzishaji wa Bodi ya Mfuko wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya ya .......... ya mwaka 2020, na itaanza kutumika baada ya kuchapishwa katika Gazeti la Serikali.
1. Hati hii itajulikana kama Hati ya Uanzishaji wa Bodi ya Mfuko wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya ya .........................ya mwaka 2020 na itaanza kutumika baada ya kutangazwa katika Gazeti la Serikali. Tafsiri - 2 Verify source ↗
Katika Hati hii isipokuwa pale itakapoelezwa
AI-assisted research summary: This section defines key terms used in the Hati, unless it says otherwise.
2. Katika Hati hii isipokuwa pale itakapoelezwa vinginevyo: “Bodi “ maana yake ni Bodi ya Mfuko wa Elimu ya Halmashauri; “Halmashauri” maana …………………….; yake ni Halmashauri ya “Kamati ya Utendaji” maana yake ni Kamati ya Utendaji iliyoanzishwa chini ya Hati hii; “Mfuko wa Elimu” maana yake ni Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ulioanzishwa kwa mujibu wa Hati hii”; “Mjumbe” maana yake ni Mjumbe wa Bodi na ni pamoja na Mwenyekiti; 1 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) “Mkurugenzi” maana yake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ………………………. na ni pamoja na mtu yeyote anayekaimu nafasi ya Mkurugenzi; “Mratibu” maana yake ni Mratibu wa Mfuko wa Elimu aliyeteuliwa kwa mujibu wa Hati hii; na “Mwenyekiti” maana yake ni Mwenyekiti wa Bodi. SEHEMU YA PILI BODI YA MFUKO WA ELIMU Bodi ya Mfuko wa Elimu
Part
SEHEMU YA PILI
- 3 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Bodi ya Mfuko wa Elimu ya
AI-assisted research summary: This provision creates the Council’s Education Fund Board and lists its members.
3.-(1) Kutakuwa na Bodi ya Mfuko wa Elimu ya Halmashauri ambayo katika Hati hii itajulikana kama Bodi. (2) Bodi itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Mwenyekiti; (b) wawakilishi wawili wa jamii ambapo mmoja kati yao atakuwa mwanamke; (c) mwakilishi mmoja kutoka miongoni mwa wakuu wa shule za sekondari zilizopo katika eneo la Halmashauri; (d) mwakilishi mmoja kutoka miongoni mwa walimu wakuu wa shule za msingi zilizopo katika eneo la Halmashauri; (e) mwakilishi mmoja kutoka miongoni mwa wamiliki wa shule zisizo za Serikali; na (f) Diwani mmoja kutoka Kamati ya Huduma za Jamii ya Halmashauri. (3) Masharti kuhusu utaratibu wa kuwapata wajumbe wa Bodi, muda wa kuwa madarakani kwa wajumbe wa Bodi, yatakuwa kama uendeshaji wa yalivyoainishwa katika Jedwali la Hati hii. za Bodi shughuli Majukumu ya Bodi - 4 Verify source ↗
(1) Bodi itakuwa na majukumu yafuatayo
AI-assisted research summary: Bodi ina majukumu ya kusimamia Mfuko wa Elimu na kazi zake za kupanga, kuidhinisha, kushauri, kugawa misaada, kufadhili, na kusimamia utekelezaji wa shughuli za elimu.
4.-(1) Bodi itakuwa na majukumu yafuatayo: (a) kusimamia uendeshaji wa Mfuko wa Elimu; (b) kujadili na kurekebisha mipango na bajeti ya Mfuko wa Elimu na kuiwasilisha kwenye Baraza la 2 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) Madiwani; (c) kupokea, kuchambua na kuidhinisha taarifa za utekelezaji wa malengo ya Mfuko wa Elimu; (d) kushauri kuhusu utekelezaji wa mipango na mikakati kwa ajili ya maendeleo katika Halmashauri; elimu ya (e) kusimamia mgawanyo wa misaada kwa shule na taasisi za elimu kufuatana na vipaumbele vya Halmashauri; (f) kusaidia shughuli za maendeleo ya elimu katika Halmashauri kulingana na mipango ya kitaifa; (g) kusimamia ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya shule na taasisi za elimu za Halmashauri unaofadhiliwa na Mfuko; (h) kufadhili za ujenzi na shughuli ukarabati wa miundombinu ya elimu; (i) kupitisha kanuni za utengaji na utumiaji wa fedha kutoka kwenye Mfuko wa Elimu; (j) kuisimamia Kamati ya Utendaji ya Mfuko wa Elimu katika utekelezaji wa majukumu yake; na (k) kufanya jambo lolote litakalofanikisha katika ya elimu maendeleo Halmashauri. (2) Katika utekelezaji wa majukumu yake, Bodi itashirikiana na Halmashauri kwa madhumuni ya kuhakikisha kuwa fedha na rasilimali za Mfuko wa Elimu zinasimamiwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia fedha na rasilimali za umma. - 5 Verify source ↗
Bodi inaweza kuunda kamati itakayokuwa na
AI-assisted research summary: Bodi inaweza kuunda kamati yenye baadhi ya wajumbe ikiwa itaona hiyo ni muhimu kwa utekelezaji wa majukumu yake.
5. Bodi inaweza kuunda kamati itakayokuwa na baadhi ya wajumbe endapo itaona kuna umuhimu wa kuwa na kamati kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu yake. - 6 Verify source ↗
(1) Bodi, kupitia azimio,
AI-assisted research summary: The Board may delegate its duties by resolution and may set conditions for how the delegated duties are carried out, but it cannot delegate certain listed functions.
6.-(1) Bodi, kupitia azimio, inaweza kukasimu 3 Kamati za Bodi Kukasimu majukumu Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) majukumu yake yaliyoainishwa katika Hati hii kwa kamati, Mratibu au Mjumbe yeyote wa Bodi. (2) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo cha (1), Bodi inaweza kuweka masharti mbalimbali kuhusu utekelezaji wa majukumu yaliyokasimiwa. (3) Bila kujali masharti ya kifungu kidogo cha (1), Bodi haitakuwa na uwezo wa kukasimu majukumu yafuatayo: (a) kusimamia uendeshaji wa Mfuko wa Elimu; (b) kujadili na kurekebisha mipango na bajeti ya Mfuko wa Elimu na kuiwasilisha kwenye Baraza la Madiwani; (c) kupokea, kuchambua na kuidhinisha taarifa za utekelezaji wa malengo ya Mfuko wa Elimu; (d) kushauri kuhusu utekelezaji wa mipango na mikakati kwa ajili ya maendeleo katika Halmashauri; elimu ya (e) kupitisha kanuni za utengaji na utumiaji wa fedha kutoka kwenye Mfuko wa Elimu; na (f) kuisimamia Kamati ya Utendaji ya Mfuko wa Elimu katika utekelezaji wa majukumu yake. Ushirikishaji wa jamii - 7 Verify source ↗
Katika utekelezaji wa majukumu yake, Bodi
AI-assisted research summary: Bodi must ensure community participation in identifying and solving education challenges, setting priorities, and monitoring and evaluating education service delivery, and it must ensure transparency and accountability.
7. Katika utekelezaji wa majukumu yake, Bodi itahakikisha kuwa: (a) jamii inashirikishwa katika: (i) utambuzi wa changamoto za elimu na utatuzi wa changamoto hizo; (ii) uwekaji wa vipaumbele; (iii) Ufuatiliaji na ufanyikaji wa tathmini kuhusu utoaji wa huduma za elimu; (b) kunakuwepo na uwazi na uwajibikaji. Uwajibikaji wa Bodi - 8 Verify source ↗
Katika utekelezaji wa majukumu yake, Bodi
AI-assisted research summary: The Board is accountable to the Council when carrying out its duties, following the procedure set out in this Charter.
8. Katika utekelezaji wa majukumu yake, Bodi itawajibika kwa Halmashauri kwa kuzingatia utaratibu ulioainishwa katika Hati hii. 4 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) SEHEMU YA TATU MFUKO WA ELIMU Mfuko wa Elimu
Part
SEHEMU YA TATU
- 9 Verify source ↗
Kutakuwa na Mfuko wa Elimu wa Halmashauri
AI-assisted research summary: Halmashauri ina Mfuko wa Elimu unaotumika kwa madhumuni yaliyotajwa kwenye kifungu.
9. Kutakuwa na Mfuko wa Elimu wa Halmashauri ambao utatumika kwa madhumuni yafuatayo: (a) kuboresha, kuendeleza na kukuza utoaji wa elimu bora kulingana na vipaumbele vya Halmashauri; (b) kugharamia miradi na programu za Mfuko wa Elimu; (c) kudhamini wanafunzi wasio na uwezo wa kumudu gharama za huduma za elimu; (d) kujenga au kukarabati miundombinu ya shule zilizopo katika eneo la Halmashauri; (e) kununua vifaa vya kufundishia na kujifunzia; (f) kugharamia shughuli nyingine yoyote ambayo kwa maoni ya Bodi ina manufaa kulingana na malengo na madhumuni ya Mfuko wa Elimu; na (g) kugharamia uendeshaji wa Mfuko wa Elimu na Bodi. Kamati ya Utendaji ya Mfuko wa Elimu - 10 Verify source ↗
Kutakuwa na Kamati ya Utendaji ya Mfuko wa
AI-assisted research summary: The Education Fund Executive Committee must consist of the listed members.
10. Kutakuwa na Kamati ya Utendaji ya Mfuko wa Elimu ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Mkurugenzi Mwenyekiti; ambaye atakuwa (b) Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi; (c) Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari; (d) Mkuu wa Mipango; Idara ya Uchumi na (e) Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii; (f) Mkuu wa Idara ya Ujenzi; (g) Mkuu wa Kitengo cha Sheria. Majukumu ya Kamati ya Utendaji - 11 Verify source ↗
Kamati ya Utendaji itakuwa na majukumu
AI-assisted research summary: Kamati ya Utendaji lazima itekeleze majukumu ya kusimamia Mfuko wa Elimu na shughuli za elimu za Halmashauri.
11. Kamati ya Utendaji itakuwa na majukumu yafuatayo: 5 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) (a) kuratibu na kuhamasisha uchangiaji wa hiari wa Mfuko wa Elimu; (b) kuandaa mipango kabambe ya Halmashauri katika sekta ya elimu ambayo itatilia mkazo mahitaji yote ya elimu kwa katika Halmashauri kuzingatia Mwongozo wa Kitaifa wa Maendeleo ya Elimu; (c) kubaini, kuanzisha na kuratibu vyanzo vya mapato ya Mfuko wa Elimu; (d) kuwezesha na kuratibu vikao vya Bodi; (e) kuchambua na kubainisha vipaumbele katika elimu ya vya masuala Halmashauri; (f) kuweka taratibu na vigezo vya ufadhili wa wanafunzi na utoaji ruzuku kwa miradi ya elimu katika Halmashuri; na (g) kuandaa taarifa za utekelezaji kuhusu Mfuko wa Elimu na maendeleo ya elimu katika Halmashauri. Mratibu wa Mfuko wa Elimu - 12 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na Mratibu wa Mfuko wa Elimu
AI-assisted research summary: The Director must appoint an Education Fund Coordinator from senior council staff with experience in education, law, administration, or economics.
12.-(1) Kutakuwa na Mratibu wa Mfuko wa Elimu atakayeteuliwa na Mkurugenzi kutoka miongoni mwa watumishi waandamizi wa Halmashauri mwenye uzoefu na ujuzi katika masuala ya ualimu, sheria, utawala au uchumi. (2) Mratibu atakayeteuliwa kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (1) atashikilia nafasi hiyo kwa muda wa miaka minne na katika kipindi hicho ataendelea kutekeleza majukumu yake ya kawaida ya kiutumishi. (3) Mratibu atakuwa Katibu wa Bodi na Katibu wa Kamati ya Utendaji. Majukumu ya Mratibu - 13 Verify source ↗
Bila kuathiri masharti mengine ya Hati hii,
AI-assisted research summary: Mratibu ana majukumu ya uendeshaji wa Mfuko na kazi za Bodi, pamoja na kupanga bajeti, kuandaa taarifa, kutunza kumbukumbu na kusimamia hesabu za Mfuko wa Elimu.
13. Bila kuathiri masharti mengine ya Hati hii, Mratibu atakuwa na majukumu yafuatayo: (a) kuwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko na shughuli za Bodi; (b) kuandaa na kutekeleza mipango na bajeti ya Mfuko wa Elimu; na kuwasilisha (c) kuandaa taarifa 6 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) kwenye vikao vya Bodi na mamlaka zinazohusika; (d) kutunza kumbukumbu, nyaraka na mali zote za Mfuko wa Elimu wa Halmashauri kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu; na (e) kusimamia na kutunza hesabu zote za mapato na matumizi ya Mfuko wa Elimu. SEHEMU YA NNE MASHARTI YA FEDHA Akaunti ya Mfuko wa Elimu
Part
SEHEMU YA NNE
- 14 Verify source ↗
(1) Kutakuwa na akaunti ya benki ya Mfuko wa
AI-assisted research summary: The Education Fund must have a bank account, and the account must be operated only by the listed signatory combinations.
14.-(1) Kutakuwa na akaunti ya benki ya Mfuko wa zote Elimu zitakazopokelewa kwa madhumuni ya Mfuko wa Elimu. kuhifadhi itatumika ambayo fedha (2) Katika kuendesha akaunti hiyo, wawekaji saini watakuwa: (a) Mkurugenzi na Mjumbe atakayeidhinishwa na Bodi; au (b) Mratibu na Mjumbe atakayeidhini- shwa na Bodi. Usimamizi wa rasilimali - 15 Verify source ↗
Rasilimali au misaada yoyote tofauti na fedha
AI-assisted research summary: Non-cash resources or aid provided for the Education Fund must be received and entered in the Fund’s special register.
15. Rasilimali au misaada yoyote tofauti na fedha itakayotolewa kwa ajili ya Mfuko wa Elimu itapokelewa na kuingizwa kwenye rejista maalum ya Mfuko wa Elimu. Vyanzo vya mapato vya Mfuko wa Elimu - 16 Verify source ↗
Mfuko wa Elimu utakuwa na vyanzo vya mapato
AI-assisted research summary: The Education Fund has listed sources of income, including voluntary contributions, grants, and internal revenue from the Council.
16. Mfuko wa Elimu utakuwa na vyanzo vya mapato vifuatavyo: (a) michango ya hiari ya watu binafsi, wadau wa elimu na washirika wa maendeleo; (b) michango ya hiari ya wananchi kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na Halmashauri; (c) misaada kutoka kwa wadau mbalimbali; na 7 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) (d) rasilimali au fedha kutoka kwenye mapato ya ndani ya Halmashauri. Ukaguzi - 17 Verify source ↗
Hesabu za mwaka za Mfuko wa Elimu
AI-assisted research summary: The Education Fund’s annual accounts must be audited according to the law and public finance procedures.
17. Hesabu za mwaka za Mfuko wa Elimu zitakaguliwa kwa mujibu wa Sheria na taratibu za fedha za Umma. SEHEMU YA TANO MASHARTI YA JUMLA Taarifa ya Kamati ya Utendaji ya miezi mitatu
Part
SEHEMU YA TANO
- 18 Verify source ↗
(1) Kamati ya Utendaji itakuwa na wajibu wa
AI-assisted research summary: Kamati ya Utendaji lazima itayarishe na kuwasilisha ripoti ya kila miezi mitatu kwa Bodi.
18.-(1) Kamati ya Utendaji itakuwa na wajibu wa kuandaa na kuwasilisha katika kikao cha Bodi taarifa ya miezi mitatu ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi, Kamati ya Utendaji na Mfuko wa Elimu katika kikao cha Bodi. (2) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), taarifa itakayowasilishwa itaainisha yafuatayo: (a) mapato na matumizi kwa kipindi husika; (b) kazi zilizofanyika yaliyopatikana na changamoto; (c) viashiria vya utendaji na mafanikio taarifa nyingine zinazohusiana navyo; na (d) masuala mengine kwa kadri Bodi itakavyoelekeza. Taarifa ya mwaka ya Kamati ya Utendaji - 19 Verify source ↗
(1) Kamati ya Utendaji itakuwa na wajibu wa
AI-assisted research summary: Kamati ya Utendaji lazima iandae na iwasilishe taarifa ya mwaka ya utekelezaji kwa kikao cha Bodi.
19.-(1) Kamati ya Utendaji itakuwa na wajibu wa kuandaa na kuwasilisha katika kikao cha Bodi taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi, Kamati ya Utendaji na Mfuko wa Elimu. (2) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), taarifa itakayowasilishwa itaainisha yafuatayo: (a) mipango na bajeti ya Mfuko kwa mwaka wa fedha unaofuata; (b) utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha mwaka mmoja; (c) mapato na matumizi katika kipindi cha mwaka mmoja; (d) mipango ya kimkakati ya kuimarisha Mfuko wa Elimu; na 8 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) (e) Mpango Kazi wa Bodi na Kamati ya Utendaji kwa mwaka unaofuata. Taarifa ya Bodi ya miezi mitatu - 20 Verify source ↗
(1) Bodi itakuwa na wajibu wa kuandaa na
AI-assisted research summary: Bodi lazima iandae na iwasilishe taarifa ya miezi mitatu kuhusu utekelezaji wa majukumu yake, Kamati ya Utendaji, na Mfuko wa Elimu.
20.-(1) Bodi itakuwa na wajibu wa kuandaa na kuwasilisha katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Huduma za Jamii taarifa ya miezi mitatu ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi, Kamati ya Utendaji na Mfuko wa Elimu. (2) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), taarifa itakayowasilishwa itaainisha yafuatayo: (a) mapato na matumizi kwa kipindi husika; (b) kazi zilizofanyika yaliyopatikana na changamoto; (c) viashiria vya utendaji na mafanikio taarifa nyingine zinazohusiana navyo; na (d) masuala mengine kwa kadri Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Huduma za Jamii itakavyoelekeza. Taarifa ya Bodi ya mwaka - 21 Verify source ↗
(1) Bodi itakuwa na wajibu wa kuandaa na
AI-assisted research summary: Bodi must prepare and submit an annual implementation report at a session of the Standing Committee of the Social Services Council.
21.-(1) Bodi itakuwa na wajibu wa kuandaa na kuwasilisha katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Huduma za Jamii taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa majukumu ya Bodi, Kamati ya Utendaji na Mfuko wa Elimu. (2) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha (1), taarifa itakayowasilishwa itaainisha yafuatayo: (a) mipango na bajeti ya Mfuko kwa mwaka wa fedha unaofuata; (b) utekelezaji wa majukumu katika kipindi cha mwaka mmoja; (c) mapato na matumizi katika kipindi cha mwaka mmoja; (d) mipango ya kimkakati ya kuimarisha Mfuko wa Elimu; na (e) Mpango Kazi wa Bodi na Kamati ya Utendaji kwa mwaka unaofuata. Wajibu wa Kamati ya Kudumu ya - 22 Verify source ↗
Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Huduma
AI-assisted research summary: Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Huduma za Jamii lazima ichunguze taarifa zitakazowasilishwa na Bodi na iwasilishe mapendekezo yake kwa Halmashauri.
22. Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Huduma za Jamii itakuwa na wajibu wa kupitia na kuchambua taarifa 9 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) Huduma za Jamii itakayowasilishwa na Bodi na kuwasilisha mapendekezo yake kwa Halmashauri kwa uamuzi wake. Utekelezaji wa Sheria ya Mfuko wa Elimu Sura 412 - 23 Verify source ↗
Kwa madhumuni ya kuwezesha utekelezaji wa
AI-assisted research summary: Bodi kupitia kwa Mkurugenzi lazima iwasilishe orodha ya wachangiaji kwa Mamlaka ya Elimu Tanzania na ichangie shilingi 100,000 kwa mwaka katika Mfuko wa Elimu.
23. Kwa madhumuni ya kuwezesha utekelezaji wa Sheria ya Mfuko wa Elimu kuhusu uhamasishaji wa uchangiaji katika sekta ya elimu na utoaji wa tuzo kwa wadau wanaochangia, Bodi kupitia kwa Mkurugenzi itakuwa na wajibu wa: (a) kuwasilisha kwa Mamlaka ya Elimu Tanzania orodha ya majina ya wadau waliochangia katika Mfuko wa Elimu ikionyesha kiasi cha fedha au rasilimali nyingine zilizopokelewa na Mfuko wa Elimu; na (b) kuchangia kiasi cha shilingi laki moja kwa mwaka katika Mfuko ulioanzishwa chini ya Sheria ya Mfuko wa Elimu. 10 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) ______ JEDWALI ______ (Limetengenezwa chini ya Kifungu cha 3(3) UENDESHAJI WA SHUGHULI ZA BODI Sifa ya Mjumbe
Part
JEDWALI
- 1 Verify source ↗
(1) Mtu yeyote anaweza kuwa Mjumbe wa Bodi endapo
AI-assisted research summary: A person may serve as a Board Member only if they meet the listed qualifications, with two stated exceptions, and a council employee or councillor is not qualified to be appointed Chairperson.
1.-(1) Mtu yeyote anaweza kuwa Mjumbe wa Bodi endapo atakuwa na sifa zifuatazo: (a) awe ni raia wa Tanzania; (b) awe na umri usiopungua miaka ishirini na moja; (c) awe na akili timamu; (d) awe na elimu ya Sekondari na kuendelea; (e) asiwe na madaraka yoyote kwenye chama cha siasa; (f) asiwe amewahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai linalohusu ukosefu wa uaminifu; na (g) awe mkazi wa Halmashauri. (2) Masharti ya: (a) aya ndogo (1)(a) hayatatumika kwa Mjumbe anayewakilisha mashirika yasiyo ya kiserikali; (b) aya ndogo (1)(e) hayatatumika kwa Mjumbe anayewakilisha Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Huduma za Jamii. (3) Kwa kuzingatia masharti ya aya ndogo ya (1), mtumishi wa Halmashauri au Diwani hatakuwa na sifa ya kuteuliwa kuwa Mwenyekiti. - 2 Verify source ↗
(1) Mkurugenzi, kwa maelekezo ya Halmashauri,
AI-assisted research summary: The Director, under Council instructions, must announce vacancies for the Board chairperson and members, publish the notice in specified local outlets, review applications, and the Council must appoint the chairperson and members from the recommended names.
2.-(1) Mkurugenzi, kwa maelekezo ya Halmashauri, atatangaza kuwepo kwa nafasi ya Mwenyekiti na wajumbe wa Bodi walioainishwa katika kifungu cha 3. (2) Tangazo litakalotolewa kwa mujibu wa aya ndogo ya (1) litachapishwa katika gazeti linalosambazwa katika eneo la Halmashauri na mbao za matangazo katika Ofisi za Halmashauri, Kata na Vijiji litaainisha sifa za wajumbe wa Bodi. (3) Timu ya Menejimenti ya Halmashauri itachambua maombi yatakayowasilishwa na kupendekeza kwa Kamati ya Kudumu ya Halmashauri ya Huduma za Jamii majina ya watu 11 Utaratibu wa kuwapata wajumbe Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) wenye sifa kwa ajili ya kuyapendekeza kwa Halmashauri. (4) Halmashauri baada ya kupokea majina kwa mujibu wa kifungu kidogo cha (3) itateua Mwenyekiti na wajumbe wa Bodi. Muda wa kuwa madarakani - 3 Verify source ↗
(1) Mjumbe wa Bodi atashika madaraka kwa kipindi
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Bodi atatumikia kwa miaka mitatu, na anaweza kuteuliwa tena kwa kipindi kimoja kingine.
3. –(1) Mjumbe wa Bodi atashika madaraka kwa kipindi cha miaka mitatu na anaweza kuteuliwa tena kwa kipindi kingine kimoja. (2) Bila kujali masharti ya aya ndogo ya (1), Mwenyekiti au Mjumbe atapoteza nafasi yake endapo litatokea mojawapo ya yafuatayo: (a) kufariki dunia; (b) kujiuzulu baada ya kutoa ya mwezi mmoja taarifa ya kwa maandishi ikiwa anayejiuzulu ni Mwenyekiti na Mwenyekiti, baada ya kutoa taarifa ya maandishi kwa Mwenyekiti wa Halmashauri; ya mwezi mmoja (c) ulemavu au ugonjwa unaosababisha ashindwe kutekeleza majukumu yake katika Bodi; (d) kutohudhuria vikao vitatu mfululizo bila sababu za msingi; au (e) kupoteza iliyomfanya Mwenyekiti au Mjumbe wa Bodi. sifa awe (3) Kuwepo kwa nafasi wazi hakutaathiri uendeshaji wa shughuli za Bodi. Utaratibu wa kujaza nafasi za Bodi zilizo wazi - 4 Verify source ↗
(1) Endapo itatokea nafasi wazi katika Bodi, utaratibu
AI-assisted research summary: A Board vacancy is handled using the procedure in paragraph 2, unless the Board’s remaining life is under six months; a member appointed under paragraph 4 may be reappointed once for a three-year term.
4.-(1) Endapo itatokea nafasi wazi katika Bodi, utaratibu ulioainishwa katika aya ya 2 utatumika isipokuwa nafasi wazi haitojazwa ikiwa muda wa uhai wa Bodi ni chini ya miezi sita. (2) Mjumbe aliyeteuliwa kwa mujibu wa aya ya 4 anaweza kuteuliwa tena kwa kipindi kimoja cha miaka mitatu. Uzinduzi wa Bodi - 5 Verify source ↗
Baada ya uteuzi wa Mwenyekiti na wajumbe wa Bodi,
AI-assisted research summary: Baada ya kuchaguliwa kwa Mwenyekiti na wajumbe wa Bodi, Mkurugenzi anaweza kuwaalika viongozi wa mkoa, wilaya au halmashauri kuizindua Bodi.
5. Baada ya uteuzi wa Mwenyekiti na wajumbe wa Bodi, Mkurugenzi anaweza kumwalika Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya au Mwenyekiti wa Halmashauri kuizindua Bodi. Kuvunjwa kwa Bodi - 6 Verify source ↗
(1) Endapo Bodi itashindwa kutekeleza majukumu yake
AI-assisted research summary: If the Board fails to perform its duties, the District Council may dissolve it and start forming a new Board within three months.
6.-(1) Endapo Bodi itashindwa kutekeleza majukumu yake kwa sababu yoyote ile, Halmashauri inaweza kuivunja Bodi na kuanzisha taratibu za kuundwa kwa Bodi mpya ndani ya muda wa miezi mitatu. (2) Endapo Bodi itavunjwa, Mwenyekiti na wajumbe wote watapoteza nafasi zao na hawatachaguliwa tena kuwa wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Elimu. 12 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) Vikao vya kawaida vya Bodi Vikao vya dharura (3) Endapo Bodi itavunjwa, majukumu yake yatatekelezwa na Kamati ya Utendaji. - 7 Verify source ↗
(1) Vikao vya kawaida vya Bodi vitaitishwa na
AI-assisted research summary: Mwenyekiti lazima aitishe vikao vya kawaida vya Bodi kila baada ya miezi mitatu.
7.-(1) Vikao vya kawaida vya Bodi vitaitishwa na Mwenyekiti kila baada ya miezi mitatu. (2) Vikao vya kawaida vya Bodi vitaitishwa kwa taarifa ya maandishi ya siku saba itakayotolewa kwa wajumbe wote. - 8 Verify source ↗
(1) Bila kujali masharti ya aya ya 7, endapo litajitokeza
AI-assisted research summary: The Chairperson may call an emergency Board meeting if the matter cannot wait for a regular meeting. If the Chairperson refuses after being asked, two-thirds of Board members may call a Board meeting with three days’ written notice to all members.
8.-(1) Bila kujali masharti ya aya ya 7, endapo litajitokeza suala ambalo haliwezi kusubiri kikao cha kawaida cha Bodi, Mwenyekiti anaweza kuitisha kikao cha dharura cha Bodi kwa ajili ya kujadili suala lililojitokeza. (2) Bila kujali masharti aya ndogo ya (1), theluthi mbili ya wajumbe wa Bodi inaweza kuitisha kikao cha Bodi kwa kutoa taarifa ya maandishi ya siku tatu kwa wajumbe wote endapo; (a) kwa maoni ya wajumbe hao kuna suala ambalo haliwezi kusubiri kikao cha kawaida cha Bodi; na (b) kuwa Mwenyekiti amekataa kuitisha kikao cha dharura baada ya kuombwa na wajumbe hao. Uendeshaji wa vikao vya Bodi - 9 Verify source ↗
Vikao vya Bodi vitaongozwa na Mwenyekiti na endapo
AI-assisted research summary: Board meetings are to be chaired by the Chairperson; if the Chairperson cannot conduct the meeting for any reason, the members must choose one of themselves to lead it.
9. Vikao vya Bodi vitaongozwa na Mwenyekiti na endapo Mwenyekiti, kwa sababu yoyote ile, atashindwa kuendesha kikao, wajumbe watamchagua Mjumbe kutoka miongoni mwao kuongoza kikao. Akidi ya kikao - 10 Verify source ↗
(1) Akidi ya kikao cha kawaida cha Bodi itakuwa ni
AI-assisted research summary: Kikao cha kawaida cha Bodi kina akidi ya nusu ya wajumbe wote, na kikao cha dharura kina akidi ya theluthi mbili. Baadhi ya watu lazima wahudhurie vikao vya Bodi, lakini hawana haki ya kupiga au kupigiwa kura.
10.-(1) Akidi ya kikao cha kawaida cha Bodi itakuwa ni nusu ya wajumbe wote. (2) Akidi ya kikao cha dharura cha Bodi itakuwa ni theluthi mbili ya wajumbe wote. (3) Bila kuathiri aya ndogo ya (1), vikao vya Bodi vitahudhuriwa na: (a) Katibu Tawala wa Wilaya au mwakilishi wake; (b) wajumbe wa Kamati ya Utendaji au wawakilishi wao; na (c) mtu yeyote ambaye kwa maoni ya Mwenyekiti ni muhimu akahudhuria kikao cha Bodi. (4) Mtu yeyote aliyetajwa katika aya ndogo ya (3) hatakuwa na haki ya kupiga au kupigiwa kura katika vikao vya Bodi. Uamuzi katika vikao - 11 Verify source ↗
Uamuzi wa suala lolote katika vikao vya Bodi
AI-assisted research summary: Maamuzi ya kikao cha Bodi hufanywa kwa kura; kila Mjumbe ana kura moja, na kura zikifungana Mwenyekiti au anayeongoza kikao huongeza kura ya ziada.
11. Uamuzi wa suala lolote katika vikao vya Bodi utafanywa kwa kura na kila Mjumbe atakuwa na kura moja na 13 Hati ya Uanzishaji Wa Bodi ya Mfuko Wa Elimu ya Halmashauri ya Wilaya Tangazo Serikali Na. 1046 (Linaendelea.) Muhtasari na nyaraka za Bodi endapo itatokea kura kufungana, Mwenyekiti au Mjumbe yeyote atakayekuwa anaongoza kikao atakuwa na kura ya ziada. - 12 Verify source ↗
(1) Katibu wa Bodi atakuwa na wajibu wa kuandika
AI-assisted research summary: The Board Secretary must write board meeting summaries and keep board records and other board documents.
12.-(1) Katibu wa Bodi atakuwa na wajibu wa kuandika muhtasari wa vikao vya Bodi na kutunza kumbukumbu za vikao na nyaraka nyingine za Bodi. (2) Muhtasari wa kikao cha Bodi utathibitishwa katika kikao kinachofuata cha Bodi na utasainiwa na Mwenyekiti na Katibu wa Bodi. (3) Nyaraka za Bodi zitakazotolewa kwa madhumuni yoyote zitasainiwa na Mwenyekiti au Katibu wa Bodi. NAKUBALI, L.S Dodoma SELEMANI S. JAFO 4 Novemba, 20202 WN-OR-TAMISEMI 14
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
HATI YA UANZISHAJI WA BODI YA MFUKO WA ELIMU YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MWAKA 2020
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in