Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri) ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele, 2017
This provision gives the Act its title and says it starts to apply immediately after publication in the Government Gazette.
AI-assisted research synopsis — verify against the official legal text below.
- Jurisdiction
- Tanzania
- Instrument
- Act or statute
- Citation
- Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri) ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele, 2017
- Version
- Undated source snapshot
- Language
- sw
- Official source
- View official record ↗
Publicly available, excluded from search-engine indexing
This page remains available for direct access and API use, but this release emits
noindex,follow for the following reason:
- The record does not meet this release's canonical indexing criteria.
(market-indexing-disabled)
Statute overview
About this statute
This provision gives the Act its title and says it starts to apply immediately after publication in the Government Gazette. This section defines terms used in the notice and says the notice applies across Mlele District Council unless otherwise directed. This provision establishes a District Council Health Services Board and says its offices will be located in the Council area. Section 5 says the Board must be made up of specified members, with some members able to vote and invited others not able to vote or decide. The process requires local awareness, public notices for board-member vacancies, village submission of applications, public election under ward supervision, review of selected applicants through ward and district bodies, and official launch by the District Commissioner after a gazetted official document.
Search within this statute
Search all stored provisions in this version.
Legal text
Provisions of Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri) ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele, 2017
Showing 34 of 34
- 1 Verify source ↗
Section 1
AI-assisted research summary: This provision gives the Act its title and says it starts to apply immediately after publication in the Government Gazette.
1. itajulikana kama Hati Rasmi Hati Rasmi hii (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri) ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele, 2017 na itaanza kutumika mara baada ya kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali. Matumizi Tafsiri - 3 Verify source ↗
Section 3
AI-assisted research summary: This section defines terms used in the notice and says the notice applies across Mlele District Council unless otherwise directed.
3. Hati Rasmi hii itatumika katika eneo lote la mamlaka ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. Hati Katika vinginevyo:- hii isipokuwa kama itaelekezwa 1 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) ‘’ Kamati ya maendeleo ya kata ‘’ maana yake ni kamati iliyoanzishwa chini ya kifungu cha 31 cha sheria ya Serikali za Vijiji (Mamlaka za Wilaya) Sura 287 “Kamati ya Kituo cha Afya “maana yake ni kamati iliyoanzishwa chini ya kifungu cha 28(1) cha Hati Rasmi hii; “Kamati ya Usimamizi ya Hospitali” maana yake ni kamati ambayo imeanzishwa chini ya kifungu cha 17 cha Hati Rasmi hii. ‘’ Kituo cha Afya, maana yake ni kituo cha kutolea huduma ya afya amabcho kiko ndani ya trafa, kinatoa huduma za afya kwa wagonjwa wa nje na waliolazwa pamoja na waliopewa rufaa toka kwenye zahanati ikiwa ni pamoja ya Mama na mtoto na kina uwezo wa Vitanda kumi na tano na kuendelea. ‘’ Kituo cha Huduma ya Afya cha Umma ‘’ maana yake ni kituo cha kutolea huduma ya afya kinasimamiwa na serikali. ‘’ Kituo cha Huduma za Afya cha shirika lisilo la serikali ‘’ maana yake ni kituo cha huduma za afya kinachomilikiwa na shirika au chama kwa misingi ya kujitolea na kutoa huduma na malipo bila faida na kinaendesha shughuli zake kwa kufuatana na kanuni na taratibu zilizowekwa na serikali. 2 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) ‘’ Kituo cha Huduma za afya cha binafsi ‘’ maana yake ni kituo cha Huduma nza Afya kinachomilikiwa na kuendeshwa katika utoaji wa Huduma zake lengo likiwa ni pamoja na kupata faida. ‘’ Mkurugenzi ‘’ maana yake ni Mkurugenzi wa Halmashauri yeyote atakayeteuliwa kutekeleza majukumu ya Mkurugenzi. ya Wilaya ofisa au ‘’ Mganga Mkuu wa Wilaya ‘’ maana yake ni daktari ambaye ni msimamizi mkuu wa huduma za afya katika Halmashauri. “Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri” maana yake ni timu ya kitaalamu ya uendeshaji wa shughuli za afya kwenye Halmashauri iliyoanzishwa chini kifungu cha 13 cha Hati Rasmi hii. “Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Mkoa” timu ya wataalamu wa afya, maana yake ni inayosimamia shughuli zote za huduma za afya mkoani; “Timu ya uendeshaji wa Huduma za Afya ya Hospitali “maana yake ni timu ambayo inawahusisha viongozi wataalam au wakuu wa sehemu au vitengo kwenye hospitali ya Wilaya; 3 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) ‘’ Vituo vya Kutolea Huduma ‘’ maana yake ni pamoja na Hospitali, kituo cha afya, kliniki ya tiba, zahanati, maabara ya afya, kituo cha uzazi na uuguzi na pia vituo vingine vilivyoanzishwa kwa ajili ya kutoa huduma za afya. “Wadhifa wa kisiasa” maana yake ni kuwa na madaraka ya kuteuliwa au kuchaguliwa kwenye chama chochote cha kisiasa kilichoandikishwa chini ya Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 1992. ‘’ Zahanati ‘’ maana yake ni kituo cha kwanza kinachotoa huduma kinachotambulika na Halmashauri ambacho kipo ndani ya kata ambacho hutoa huduma kwa wagonjwa wa nje ikiwa ni pamoja na huduma za mama na mtoto na kinaweza kuwa na vitanda vinne kwa ajili ya uangalizi wa karibu wa wagonjwa kwa muda usiozidi saa ishirini na nne. Bodi - 4 Verify source ↗
Section 4
AI-assisted research summary: This provision establishes a District Council Health Services Board and says its offices will be located in the Council area.
4. (1) Kutakuwa na Bodi itakayojulikana kama Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri ya Wilaya, (2) Ofisi za Bodi zitakuwa katika eneo Halmashauri, la Wajumbe wa Mfuko wa Bodi. - 5 Verify source ↗
Section 5
AI-assisted research summary: Section 5 says the Board must be made up of specified members, with some members able to vote and invited others not able to vote or decide.
5. (1) Bodi itaundwa na wajumbe wafuatao:- (a) Wawakilishi wanne wa watumiaji wa huduma za afya ambao wawili kati yao ni lazima wawe ni wanawake; 4 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (b) Mwakilishi mmoja kutoka kwa watoa huduma za afya binafsi kwa faida na mmoja kwa watoa huduma binafsi bila faida, walio katika makubaliano ya kutoa huduma na Bodi; na (c) Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii (d) Afisa Mipango wa Halmashauri wa Halmashauri ya Wilaya; (e) Mganga Mkuu wa Wilaya, ambaye atakuwa Katibu wa Bodi ; (f) Mwakilishi mmoja toka hospitali ya Wilaya au hospitali teule; na ; (g) Mwakilishi kutoka Timu ya Uendeshaji Huduma za Afya Mkoa. Mwenyekiti atachaguliwa kutoka miongoni mwa wajumbe wa kifungu kidogo (1) (a), (b) na (c) hapo juu. Wajumbe waliotajwa katika aya (a) (b) na (c) mbali na wajumbe na wajumbe waliotajwa katika aya (d),(e),(f) na (g) za kifungu kidogo cha (1) watakuwa na haki ya kupiga kura katika maamuzi ya Bodi. (2) (3) 5 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (4) Wajumbe wengine wanaweza kualikwa kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo; lakini hawatakuwa na uwezo wa kupiga kura au kufanya maamuzi. Sifa za kuwa mjumbe wa Bodi. 6 (1) Mtu anaweza kugombea nafasi ya ujumbe wa Bodi kama atakuwa na sifa zifuatazo : (a) (b) (c) (d) (e) ni lazima awe raia wa Tanzania, Sharti hili si lazima kwa wajumbe kutoka Mashirika yasiyo ya Kiserikali; awe na umri kuanzia miaka ishirini na moja (21) na kuendelea, awe amehitimu elimu ya sekondari; yaani kidato cha nne na kuendelea; na asiwe na wadhifa wowote wa kisiasa toka chama chochote cha siasa. awe mwanachama hai wa mfuko wa jamii (f) Asiwe ametiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai (g) Awe mkazi wa Halmashauri . (2) Diwani na mfanyakazi wa Halmashauri, mbali ya Mwenyekiti wa Kamati ya Uchumi na jamii, hatoruhusiwa kuwa Huduma za mjumbe wa Bodi, kwa kuwa Bodi ni chombo cha Halmashauri ya uwajibikaji na tathmini. katika masuala 6 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Utaratibu wa kupata wajumbe - 7 Verify source ↗
(1) (a) Uhamasishaji ushirikishe viongozi wa Halmashauri
AI-assisted research summary: The process requires local awareness, public notices for board-member vacancies, village submission of applications, public election under ward supervision, review of selected applicants through ward and district bodies, and official launch by the District Commissioner after a gazetted official document.
7.(1) (a) Uhamasishaji ushirikishe viongozi wa Halmashauri na wananchi kwa ujumla katika ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji (b) Halmashauri kutoa matangazo ya nafasi wajumbe wa Bodi kupitia Wilaya, Kata na Vijiji. (c) Uchaguzi wa awali: Maombi ya nafasi yatawasilishwa kwenye vijiji na uchaguzi utafanyika mkutano wa hadhara na kusimamiwa na Afisa Mtendaji wa Kata husika. (d) Uchambuzi wa maombi: Orodha ya waombaji waliochaguliwa yatapelekwa kwenye kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Kata kwa uchambuzi wa awali kwa kuzingatia sifa na mapendekezo yatapelekwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya. (e) Uchambuzi wa majina ya wajumbe kutoka ngazi ya Kata yatafanywa na Timu ya Uendeshaji ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya kwa kuzingatia sifa na mchakato wa uteuzi wao na kuwasilisha kwenye Timu ya Uendeshaji ya Halmashauri, kuwasilisha mapendekezo hayo kwenye Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii na hatimaye Baraza la Madiwani kuidhinisha. itahakiki timu hiyo na (f) Uzinduzi rasmi utafanywa na Mkuu wa Wilaya baada ya kupata Hati Rasmi iliyotangazwa kwenye Gazeti la Serikali. Kipindi cha kushika madaraka - 8 Verify source ↗
Section 8
AI-assisted research summary: Board members serve for three years, may be re-elected, and vacancies are announced and filled through an application process; a resigning member must give one month’s written notice.
8. (1) Wajumbe wa Bodi watakuwa katika madaraka kwa kipindi cha miaka mitatu, kutoka tarehe ya ufunguzi na wataondoka baada ya muda huo lakini wanaweza kuchaguliwa tena kwa kipindi cha miaka mitatu; 7 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (2) (3) (4) (5) (6) Mwisho wa kipindi cha muda wa Bodi, Mkurugenzi atatangaza nafasi zilizo wazi na watu wenye sifa hizo watajaza fomu maalum za maombi kwenye Halmashauri katika kipindi kitakachotolewa. kuzirudisha na Mjumbe wa Bodi anaweza kujiuzulu baada ya kutoa taarifa ya maandishi ya mwezi mmoja kwa Katibu wa Bodi. (a) Pale ambapo nafasi katika Bodi itakuwa wazi kutokana na kifo, kujiuzulu, ugonjwa, au ulemavu utakaomzuia mtu huyo kushiriki kikamilifu au kwa sababu nyingine yoyote ile, mjumbe mwingine atachaguliwa kuziba nafasi hiyo kwa kipindi kilichobaki. (b) Bila kuathiri masharti ya kifungu kidogo cha 4 (a), haitaruhusiwa kuchagua mjumbe mwingine iwapo kipindi kilichobaki ni chini ya miezi sita (6) Mjumbe atakayechaguliwa kutokana na kifungu kidogo cha (4) hapo juu, anaweza kuchaguliwa tena kwa kipindi kingine cha miaka mitatu. Uchaguzi wa mwisho wa wajumbe waliochaguliwa kutoka kila mtaa utafanywa na Kikao Kikuu cha Halmashauri kupitia Kamati ya Uchumi na huduma za jamii baada ya kupendekezwa na Timu ya Uendeshaji ya Halmashauri 8 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (7) (8) (9) (10) Vikao vya Bodi - 9 Verify source ↗
Section 9
AI-assisted research summary: The board must meet every three months, and special meetings may be convened by the secretary on a written request from at least one-third of members. If the board fails to perform, the council may warn or dissolve it and must arrange a new election within three months; while dissolved, the council’s health services team runs its activities.
9. (1) (2) Bodi itazinduliwa rasmi na Mkuu wa Wilaya baada ya kuidhinishwa na Kikao cha baraza la Madiwani. Endapo Bodi itashindwa kutekeleza kazi zake, Halmashauri itaionya au kuivunja na kuandaa uchaguzi mpya ndani ya miezi mitatu tangu kuvunjwa. . Endapo Bodi watapoteza nafasi zao. itavunjwa, wajumbe wote Katika kipindi ambacho Bodi imevunjwa, Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri itasimamia shughuli zote za Bodi hadi hapo Bodi mpya itakapoteuliwa. Bodi itafanya vikao vyake vya kawaida kila baada ya miezi mitatu kwa mwaka, na vikao vyote vya Bodi vitaendeshwa na Mwenyekiti au Makamu wake; kikao ataitisha maalumu Katibu kitakachokuwa cha kawaida cha Bodi kwa maombi yaliyoandikwa na kusainiwa na wajumbe wa bodi wasiopungua theluthi moja na pale inapohitajika. 9 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (3) Akidi ya kikao - 10 Verify source ↗
Section 10
AI-assisted research summary: Board members lose qualification if they miss three consecutive meetings without notice or good cause; the board must declare the seat vacant.
10. (1) (2) (3) (4) Mjumbe yeyote ambaye, bila taarifa au sababu ya msingi, atashindwa kuhudhuria vikao vitatu mfululizo vya Bodi basi atakuwa amepoteza sifa za kuendelea kuwa mjumbe na Halmashauri itatangaza nafasi wazi kwenye nafasi hiyo. Nusu ya wajumbe wote wa kuchaguliwa ndiyo itakuwa akidi ya vikao vyote vya Bodi akiwemo Mwenyekiti au Katibu; Maamuzi ya idadi ya wajumbe wengi na waliopiga kura ndiyo yatakayokuwa maamuzi ya Bodi. Upigaji wa kura za siri ndiyo utakuwa utaratibu wa kufikia maamuzi katika vikao vya Bodi. Kila mjumbe wa Bodi atakuwa na kura moja na pale ambapo itatokea kura kufungana, basi Mwenyekiti wa Bodi atakuwa na kura ya ziada mbali ya kura yake ya kawaida. Majukumu na Kazi za Bodi - 11 Verify source ↗
Section 11
AI-assisted research summary: Bodi ina majukumu ya kusimamia huduma za afya, rasilimali, bajeti, taarifa za utekelezaji, mapato, na wafanyakazi wa kutosha.
11. (1) Majukumu na kazi za Bodi zitakuwa kama ifuatavyo:- (a) itahakikisha kuwa inapata ambazo za huduma inazimudu na zitakazoimarisha afya zao; jamii afya bora 10 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) itahakikisha kuwa kuna upatikanaji wa rasilimali na mgawanyo wake, kwa kuzingatia mahitaji ya ngazi zote za huduma ya afya na matumizi bora; itajadili na kurekebisha mipango ya afya na bajeti na kuwasilisha kwa ya kwa Halmashauri kuidhinishwa; ajili itapokea, itachambua na kuidhinisha taarifa za utekelezaji kutoka kwa Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri; itabuni vyanzo mbalimbali vya mapato na kukusanya rasilimali za kutosha kuendesha huduma za afya katika Halmashauri; itashirikiana na Kamati za Afya ndani ya Halmashauri, itaratibu na kusimamia shughuli za maendeleo katika Halmashauri; na afya ya itahakikisha kunakuwepo kuwa wafanyakazi wa kutosha kulingana na ikama ya Halmashauri; 11 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (2) itapokea Bodi katika kutekeleza majukumu kutekeleza yake, maelekezo kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu. na ya Halmashauri Uhusiano wa Bodi na wadau na mamlaka nyingine - 12 Verify source ↗
Uhusiano wa Bodi na jamii, wadau na mamlaka
AI-assisted research summary: Bodi lazima ishirikishe jamii, ifanye kazi kwa uwazi na ufanisi, iwajibike kwa Halmashauri, na kushiriki katika kutafuta mapato kutoka vyanzo mbalimbali.
12. Uhusiano wa Bodi na jamii, wadau na mamlaka nyingine utakuwa kama ifuatavyo; (a) itahakikisha kuwa kikamilifu jamii Bodi katika inashirikishwa kuweka matatizo, kutambua kipaumbele, kuchangia, kupanga, kufuatilia na kutathmini utoaji wa huduma za afya; (b) Bodi ya mbele itawajibika Halmashauri ambapo:- (i) Mipango ya afya ya robo mwaka na mwaka pamoja na taarifa za kitaalam na fedha zinapitiwa na Kamati ya Uchumi, Huduma za Jamii na Kamati ya Fedha na baadaye na Utawala, kuthibitishwa na Baraza la Madiwani; (ii) Bodi itaendesha shughuli zake kwa utaratibu wa uwazi na ambao utakuza ufanisi kwa Halmashauri na vyombo vyake vingine vya utendaji bila ya Halmashauri kuingilia uhuru wa Bodi; 12 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (c) Timu ya Uendeshaji wa Huduma za itakuwa ni Afya ya Halmashauri chombo katika utekelezaji wa maamuzi ya Bodi; kitaalamu cha (d) Kuhusiana na Kamati ya Uchumi na Huduma za jamii: (i) (ii) taarifa za mipango yote na maendeleo katika Kamati hii, kwa hiyo kamati itakuza uhusiano; zitapitia uhusiano na sekta nyingine utakuzwa na Bodi hasa katika utekelezaji wa maamuzi ya pamoja katika mambo muhimu kwenye Halmashauri; (e) Uhusiano na mashirika yasiyokuwa ya kiserikali, watoa huduma binafsi na wahisani: (i) toka kuwepo kwa wajumbe kwenye vyama vya hiari, mashirika yasiyo ya Kiserikali na watoa huduma binafsi ndani ya Bodi kutaleta uhusiano mzuri baina yao; (ii) Bodi itashiriki katika utafutaji wa mapato kutoka kwenye vyanzo mbalimbali ikiwemo Halmashauri, vyama vya hiari, jamii na wahisani; 13 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Vyanzo vya mapato vya bodi - 13 Verify source ↗
Section 13
AI-assisted research summary: The Board must keep a special Community Health Fund account, the council must appoint or employ two accountants to manage health accounts, and the District Medical Officer initiates all payments.
13. (1) (f) (g) Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Mkoa itatoa msaada wa kitaalamu na ushauri; na Jukumu la wizara zenye dhamana ya Tawala za Mikoa na Serikali za Vijiji na Afya litakuwa ni kuandaa sera ufuatiliaji na kuratibu shughuli za Bodi. Vyanzo vya mapato ya Bodi vitakuwa kama ifuatavyo: (a) Michango ya watu binafsi; (b) Mfuko wa Afya ya Jamii (c) Ada za watumiaji huduma; - papo kwa papo (d) Makusanyo toka Halmashauri; (e) Wahisani na washirika, (f) Ruzuku toka Serikali Kuu; na (g) Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (h) Vyanzo vingine halali vya mapato (2) Bodi itakuwa na akaunti maalum ya Mfuko wa Afya ya Jamii (Tiba kwa Kadi) ambayo itatunza fedha zitokanazo na michango. 14 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (3) (4) (5) (6) Wawekaji saini wa akaunti maalumu ya Mfuko wa Afya ya Jamii (Tiba kwa Kadi) pamoja na taratibu nyingine za Mfuko huo zitakuwa kama itakavyoelezwa Katika Sheria Ndogo za uanzishaji Mfuko wa Afya ya Jamii, (Tiba kwa Kadi). Halmashauri itaajiri au kuteua wahasibu wawili watakao simamia akaunti za afya. Mganga Mkuu wa Wilaya, atakuwa ndiye mwanzishaji wa malipo yote. Akaunti hii itakaguliwa kufuatana na taratibu za Fedha za Serikali za Vijiji . Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri - 14 Verify source ↗
Kutakuwa na Timu ya Uendeshaji wa Huduma za
AI-assisted research summary: A council health services management team shall exist.
14. Kutakuwa na Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri. Wajumbe - 15 Verify source ↗
Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya
AI-assisted research summary: The Council Health Management Team has specified members and must carry out a range of health-planning, coordination, supervision, reporting, and monitoring tasks.
15. Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri itakuwa na wajumbe wafuatao; Mganga Mkuu wa Wilaya, (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) Katibu wa Afya wa Wilaya, Muuguzi Mkuu wa Wilaya, Afisa Afya wa Wilaya, Mfamasia wa Wilaya, Fundi Sanifu wa Maabara wa Wilaya, Daktari wa Meno wa Wilaya, 15 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (h) Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya. Majukumu na kazi za Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya 16 (1) (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) (h) Majukumu na kazi za Timu ya Uendeshaji wa Huduma za afya ya Halmashauri zitakuwa kama ifuatavyo:- (a) kuandaa mipango kabambe ya afya ambayo itatilia mkazo mahitaji yote ya afya ya Halmashauri kwa kuzingatia Mwongozo wa Kitaifa wa Mpango wa Afya wa Halmashauri; kuhakikisha kuwa hospitali, vituo vya afya na jamii vinatekeleza shughuli za afya kama inavyoelekezwa katika mpango kabambe wa Afya wa Halmashauri; kuhakikisha upatikanaji wa usafiri, dawa muhimu, chanjo, dawa, vifaa tiba, kemikali za maabara katika hospitali, vituo vya afya na zahanati kuwa tayari kukabiliana na magonjwa ya milipuko, maafa na kupanga mipango ya kudhibiti na kuzuia mambo hayo; kuhakikisha kuwa watumishi wa afya walio katika ngazi mbalimbali kwenye Halmashauri wanapata nyenzo za kuwawezesha kufuatilia utekelezaji wa shughuli za afya; kuhakikisha kuwa huduma za afya zinatolewa kulingana na viwango vya Kitaifa; kuhakikisha kuwa watumishi wa afya wanakusanya takwimu, wanazichambua na kuzitumia katika mipango yao na kutoa mrejesho; kutambua maeneo ya kuweka kipaumbele, kusimamia na kufanya utafiti wa utendaji kazi katika Halmashauri ; 16 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (i) (j) (k) (l) (2) taarifa za kujumuisha na kuchambua utekelezaji wa kitaalamu na fedha za robo mwaka na mwaka, halafu kuziwasilisha kwenye Bodi na sekretarieti ya Mkoa kupitia kwa Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Mkoa; kusimamia mikutano ya wataalamu wa afya wanaotoa huduma za afya kwenye Halmashauri ili kuweza kutambua na kuratibu shughuli zote za afya; kusimamia na kusaidia utoaji wa huduma za afya ambazo ziko mbali kutoka kwenye vituo vya kutolea huduma; na za kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa shughuli kwenye Halmashauri Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri itawajibika kwa Halmashauri. afya Uhusiano wa Timu ya Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri na Kamati au mamlaka nyingine Kamati ya Usimamizi ya Hospitali Wajumbe wa Kamati ya Usimamizi ya Hospitali 17 Timu za Uendeshaji wa Huduma za Afya ya Halmashauri, kwa madhumuni ya kuleta uongozi bora, itashirikiana na Kamati nyingine za afya na mamlaka nyingine ili kuleta mtandao wa utoaji wa huduma bora za afya katika Halmashauri. - 18 Verify source ↗
Kutakuwa na Kamati ya Usimamizi ya Hospitali
AI-assisted research summary: Kila hospitali iliyo chini ya Halmashauri lazima iwe na Kamati ya Usimamizi ya Hospitali.
18. Kutakuwa na Kamati ya Usimamizi ya Hospitali katika kila hospitali iliyo chini ya Halmashauri. 19 (1) Wajumbe wa Hospitali ifuatavyo:- 17 kamati ya Usimamizi ya kama watakuwa Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (a) wawakilishi watatu kutoka watumiaji wa huduma za hospitali, (b) wajumbe wawili kutoka kwenye kamati za vituo vya afya na zahanati (c) mjumbe mmoja kutoka kwa watoa huduma za afya binafsi bila faida; na (d) Mjumbe mmoja kutoka kwa watoa huduma za afya binafsi kwa faida. (2) Kutakuwa na Sekretarieti ambayo itaundwa na wajumbe wafuatao;- (a) Halmashauri toka mwakilishi aliyeteuliwa na Mkurugenzi wa Wilaya (b) mganga Mkuu Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya, ambaye atakuwa Katibu; na (c) Muuguzi mkuu wa Hospitali ya Wilaya (d) mwakilishi mmoja toka katika ofisi ya Mganga Mkuu Theluthi moja ya wajumbe wa Kamati ya Usimamizi lazima wawe ni wanawake. Wajumbe waliotajwa katika kifungu kidogo (1) hapo juu ndiyo watakaokuwa na haki ya kupiga kura. Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Kamati watachaguliwa kutokana na wajumbe wa kifungu kidogo cha (1) hapo juu; (3) (4) (5) 18 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Sifa za wajumbe wa Kamati ya usimamizi ya Hospitali (6) (7) Mjumbe wa Kamati ya Usimamizi wa Hospitali anaweza kujiuzulu baada ya kutoa taarifa ya maandishi ya mwezi mmoja kwa Katibu. Kamati ya Usimamizi wa Hospitali inaweza kumkaribisha mtu yeyote kuhudhuria vikao vyake kama kutakuwa na ulazima wa kufanya hivyo, lakini mtu huyo hatoruhusiwa kushiriki katika kupiga kura au kupitisha maamuzi ya Kamati. 20 Wajumbe wa Kamati ya Usimamizi ya Hospitali wanatakiwa kuwa na sifa zifuatazo: (a) (b) raia wa Tanzania, Awe hili halitawahusu wajumbe kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali; sharti Awe na umri usiopungua miaka ishirini na moja na kuendelea (c) Awe amehitimu elimu ya sekondari au zaidi (d) (e) (f) (g) Awe na akili timamu; Awe mkazi wa Halmashauri ya Wilaya. Asiwe amewahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai .Asiwe na wadhifa wowote wa kisiasa kupitia chama chochote cha siasa. 19 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Taratibu za uchaguzi 21 (1) Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo cha (2) na (3) cha kifungu hiki, wajumbe wote wa Kamati ya Usimamizi ya Hospitali watachaguliwa kwa kuzingatia sifa zao na kwa uwazi. (2) Nafasi za uongozi katika Kamati ya Usimamizi ya Hospitali zitatangazwa katika gazeti linalopatikana katika Halmashauri pamoja na kutangazwa katika mbao za matangazo na mikusanyiko ya watu na watu wenye sifa zinazohitajika na nia ya kufanya hivyo watapeleka maombi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri; (3) Uchaguzi wa wajumbe utafanyika kwenye mtaa na kusimamiwa na Afisa Mtendaji wa Mtaa au Afisa Mtendaji wa Kata au afisa yeyote atakayeteuliwa na Halmashauri; (4) Uchaguzi utafanyika kwa njia ya mkutano wa (5) (6) hadhara; Baada ya uchaguzi, orodha ya wajumbe waliochaguliwa itachanganuliwa na Timu ya Uendeshaji ya Huduma za Afya ya Halmashauri na itapelekwa kwa Timu ya Uendeshaji ya Halmashauri; Uteuzi wa mwisho utafanywa na Baraza la Madiwani kupitia Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii baada ya kupendekezwa na Timu ya Uendeshaji ya Halmashauri. 20 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (7) Wajumbe wenye sifa zinazohitajika ndiyo watachaguliwa kuwa wajumbe wa Kamati ya Usimamizi ya Hospitali. Uzinduzi rasmi 22 ya Kamati ya Hospitali usimamizi itazinduliwa rasmi sanjari na uzinduzi wa Bodi ya Halmashauri - 23 Verify source ↗
Section 23
AI-assisted research summary: Kamati ya Usimamizi ya Hospitali lazima ikutane kila baada ya miezi mitatu, na taarifa ya kikao itumwe kwa kila mjumbe wiki moja kabla ya kikao kuanza. Mwenyekiti, kwa kushirikiana na Katibu, anaweza pia kuandaa kikao cha dharura inapohitajika.
23. (1) Vikao vya Kamati ya Usimamizi ya Hospitali Kamati ya Usimamizi ya Hospitali itafanya vikao vyake vya kawaida kila baada ya miezi tarehe na muda mitatu katika sehemu; kwa utakaopangwa kushirikiana na Katibu. na Mwenyekiti (2) (3) Mwenyekiti wa Kamati kwa kushirikiana na Katibu wake anaweza kuandaa kikao cha dharura kama itakavyohitajika. Taarifa ya Kikao itapelekwa kwa kila mjumbe wa Kamati ya Usimamizi ya Hospitali wiki moja kabla ya kikao kuanza, baada ya kuwafahamisha kwa maandishi madhumuni, tarehe na muda wa kikao. Majukumu na kazi za Kamati ya Usimamizi ya Hospitali 24 1 Majukumu na kazi za Kamati zitakuwa kama ifuatavyo: (a) itasimamia rasilimali za hospitali , 21 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (b) (c) (d) (e) (f) (g) itajadili na ya mipango kupitisha itapokea, mapendekezo ya hospitali na bajeti na kuipeleka Halmashauri kwa ajili ya kuthibitishwa kupitia Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri, na itapokea za utekelezaji zilizoandaliwa na Timu ya Usimamizi ya Hospitali, kujadili taarifa itabuni vyanzo mbalimbali vya mapato kwa ajili ya kuendesha huduma za afya, itashirikiana na Kamati nyingine za afya na mashirika mbalimbali katika utoaji na uboreshaji wa huduma za afya, itapendekeza kuhusu upatikanaji wa watumishi na mafunzo yao ili kuleta ufanisi katika hospitali, na jamii kuhusu kutoa mrejesho kwa uendeshaji wa hospitali na mipango ya maendeleo. Utoaji taarifa na uwajibikaji - 25 Verify source ↗
Kamati ya Usimamizi ya Hospitali itatoa taarifa na
AI-assisted research summary: The Hospital Management Committee must provide information and be accountable to the Council through the Council Health Services Board.
25. Kamati ya Usimamizi ya Hospitali itatoa taarifa na kuwajibika mbele ya Halmashauri kupitia Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri. - 26 Verify source ↗
Kamati ya Usimamizi ya Hospitali, kwa madhumuni
AI-assisted research summary: Kamati ya Usimamizi ya Hospitali lazima ishirikiane na kamati nyingine za afya ili kusaidia mtandao wa huduma bora za afya katika Halmashauri.
26. Kamati ya Usimamizi ya Hospitali, kwa madhumuni ya kuleta uongozi bora, itashirikiana na Kamati nyingine za afya ili kuleta mtandao wa utoaji wa huduma bora za afya katika Halmashauri. Uhusiano wa Kamati ya Usimamizi ya Hospitali na Kamati au mamlaka nyingine 22 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Vyanzo na usimamizi wa mapato - 27 Verify source ↗
Section 27
AI-assisted research summary: The hospital management committee’s income sources are listed, the hospital account must be audited under village financial regulations, and named officials must manage signatories and payment documents.
27. (1) Vyanzo vya mapato vya Kamati ya Usimamizi ya Hospitali vitakuwa kama ifuatavyo:- (a) katika Fedha itakayotengwa kwa ajili ya Hospitali ya Halmashauri zilizopatikana kupitia Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri, bajeti (b) Mapato yatokanayo na uchangiaji wa Huduma za Afya yaliyotengwa na Bodi kwa ajili ya hospitali, (c) Ruzuku na michango itakayotolewa na Halmashauri, na Serikali Kuu; na (d) Vyanzo vingine halali vya Mapato. Kutakuwa na akaunti ya Hospitali ambayo itakaguliwa kwa kuzingatia Kanuni za Fedha za Serikali za Vijiji. Watia saini watakuwa katika makundi mawili kundi “A” Wataalamu na kundi “B” Jamii Mganga Mkuu wa Wilaya, atamteua mmoja wa wahasibu wake kusimamia akaunti ya Hospitali chini ya uangalizi wa Mganga Mfawidhi Mganga Mfawidhi ataanzisha Hati zote za malipo zitakazohusiana na Shughuli za hospitali. (2) (3) (4) (5) 23 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Bodi ya Hospitali Kufanya kazi za Kamati - 28 Verify source ↗
Section 28
AI-assisted research summary: If there is no government district hospital, the hospital management committee’s functions are carried out by the designated hospital’s management board.
28. Pale ambapo hakuna hospitali ya wilaya ya Serikali shughuli za kamati ya Usimamizi ya Hospitali zifanywe na Bodi ya usimamizi ya Hospitali Teule. Kamati ya Kituo cha Afya - 29 Verify source ↗
Section 29
AI-assisted research summary: Section 29 creates a Health Center Committee, sets its membership, allows non-members to be invited without voting rights, and requires women to make up one-third of the members.
29. (1) Kutakuwa na Kamati ya Kituo cha Afya, ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao:- (a) Mjumbe mmoja kutoka kwa watoa huduma za afya binafsi kwa faida; (b) Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya, ambaye atakuwa Katibu; (c) Wawakilishi watatu watumiaji wa huduma za Kituo watakaochaguliwa mmoja kutoka kila kata; pale ambapo kuna kata zaidi ya tatu, basi wataingia kwa kupokezana. (d) Mjumbe mmoja kutoka kwa watoa huduma za afya binafsi bila faida;na (e) Mtaalam mmoja kutoka kwenye Kamati ya Maendeleo ya Kata. (2) (3) Bila kuathiri masharti ya kifungu (c), mwakilishi wa kupokezana atakaa kwenye Kamati kwa kipindi cha mwaka mmoja. inaweza Kamati ya Kituo cha Afya kumualika mtu yeyote ambaye si mjumbe wa Kamati kuhudhuria katika vikao vyake, lakini mtu huyo hatashiriki katika kupiga kura au kutoa maamuzi ya Kamati; 24 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (4) (5) Mwenyekiti na Makamu wa Mwenyekiti kutoka miongoni mwa watachaguliwa wajumbe wanaopiga kura ; Theluthi moja ya wajumbe wote ni lazima wawe wanawake. Sifa za Wajumbe - 30 Verify source ↗
Mjumbe wa Kamati ya Kituo cha Afya atapaswa
AI-assisted research summary: Mjumbe wa Kamati ya Kituo cha Afya lazima atimize masharti ya uraia, umri, makazi, afya ya akili, elimu, ujuzi wa kusoma na kuandika kwa Kiswahili, kutokuhukumiwa kosa la jinai, na kutokuwa na wadhifa wa kisiasa; sharti la uraia halitumiki kwa wajumbe kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali yanayotoa huduma za afya.
30. Mjumbe wa Kamati ya Kituo cha Afya atapaswa kuwa na sifa zifuatazo: (a) (b) (c) (d) (e) (f) (g) Awe raia wa Tanzania, sharti hili haliwahusu kutoka mashirika yanayotoa huduma za afya yasiyo ya kiserikali, wajumbe awe na umri si chini ya miaka ishirini na moja (21) na kuendelea awe ni mkazi wa Halmashauri ya Wilaya awe na akili timamu. awe amehitimu elimu ya msingi au zaidi na anajua kusoma na kuandika kwa kiswahili; . asiwe amewahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai asiwe na wadhifa wa kisiasa toka katika chama chochote cha siasa. 25 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Taratibu za Uchaguzi - 31 Verify source ↗
Section 31
AI-assisted research summary: Kata Executive Officer must issue notices for health-centre and dispensary user representatives, and ward committees must select and forward candidate lists for approval.
31. (1) Matangazo: Afisa Mtendaji wa Kata atatoa matangazo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya kwa ajili ya wawakilishi wa watumiaji huduma za vituo vya Afya na Zahanati (a) Maombi yatafanyika kwenye Vijiji akisimamia Mtendaji wa Mtaa na uchaguzi utafanyika kwenye mkutano wa hadhara na atachaguliwa mjumbe mmoja tu (b) Uchambuzi wa waombaji kutoka katika kila Kata yatachambuliwa na Timu ya Uendeshaji ya kila Kata ambapo Kituo cha Afya na Zahanati ipo. (c) Kamati ya Maendeleo ya Kata itafanya uchaguzi na kuwasilisha orodha ya wagombea wote kwenye Bodi ya Afya ya Halmashauri na Bodi itawasilisha kwenye Baraza la Madiwani kwa kuidhinishwa Muda wa kukaa madarakani - 32 Verify source ↗
Section 32
AI-assisted research summary: Kamati ya Maendeleo ya Kata na Kamati ya Kituo cha Afya zina sheria za muda wa uanachama, kujiengua, kujaza nafasi zilizo wazi, na ratiba ya vikao.
32. (1) Mjumbe wa kamati ya Maendeleo ya Kata mbali ya mwakilishi wa kupokezana, atakaa madarakani kwa kipindi cha miaka mitatu, na anaweza kuchaguliwa tena kwa kipindi kingine cha miaka mitatu isiyozidi vipindi viwili. (2) Mjumbe wa Kamati anaweza kujiuzulu baada ya kutoa taarifa ya maandishi ya mwezi mmoja kwa Katibu. Endapo mjumbe atajiuzulu nafasi yake itajazwa; na mjumbe atakayejaza nafasi hiyo atakaa kipindi kilichobaki, lakini anaweza kuchaguliwa tena kuendelea kwa kipindi kingine. uongozi kwenye kwa (3) 26 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (4) Mjumbe atakayejaza nafasi katika kifungu kidogo cha (3) hatoruhusiwa kufanya hivyo kama kipindi kilichobaki kitakuwa chini ya miezi sita. Iwapo Kamati ya Kituo cha Afya itashindwa kutekeleza majukumu yake basi Halmashauri inaweza kutoa onyo au kuivunja na kuandaa uchaguzi mpya ndani ya miezi mitatu. (5) Vikao vya kamati 33 (1) Kamati ya Kituo cha Afya itafanya vikao vyake vya kawaida kila baada ya miezi mitatu katika sehemu, siku na muda utakaopangwa. (2) Mwenyekiti wa Kamati kwa kushirikiana na Katibu anaweza kuandaa kikao cha dharura pale tu atakapoomba au kuombwa kufanya idhini ya hivyo kimaandishi na kupata wajumbe wasiopungua theluthi moja ya wajumbe wote. Katibu atatoa taarifa ya maandishi ya kikao kwa kila mjumbe wa Kamati wiki moja kabla ya kikao, kwa kumfahamisha madhumuni, siku na muda wa kikao. (3) Kazi za Kamati - 34 Verify source ↗
Section 34
AI-assisted research summary: The Health Centre Committee must perform several management and support duties for the health centre.
34. (1) Kazi za Kamati ya Kituo cha Afya zitakuwa kama zifuatavyo:- (a) (b) Itapokea na kujadili taarifa za utekelezaji zilizotayarishwa na Timu ya Uendeshaji wa Kituo cha Afya; Itabuni vyanzo mbalimbali vya mapato na kukusanya rasilimali za kutosha kuendeshea huduma za Kituo cha Afya; (c) Kamati na washirika wengine katika utoaji itashirikiana 27 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (d) (e) (f) (g) za nyanja na uboreshaji wa huduma za afya; miundombinu Itaimarisha endelevu na usambazaji wa uhakika wa dawa na huduma za afya; Itashauri na kutoa mapendekezo kwa Bodi kuhusu watumishi katika ajira, mgawanyo, mafunzo, maendeleo na motisha; Itasaidia Timu ya Uendeshaji ya kituo cha Afya katika kupanga na kusimamia mambo ya afya ya Jamii katika eneo lake kama sehemu ya mpango wa Maendeleo ya kata; na Itasimamia upatikanaji wa dawa muhimu, kemikali za maabara na vifaa tiba. (2) Kamati ya Kituo cha Afya itawajibika kutokana na shughuli zake za kila siku kwa Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri Uhusiano na taasisi nyingine - 35 Verify source ↗
Section 35
AI-assisted research summary: Kamati ya Kituo cha Afya lazima itekeleze majukumu yake ya kuhudumia mahitaji ya afya ya jamii, kutafuta fedha, kuwa na daftari la wachangiaji, na kuimarisha ushirikiano na uwakilishi ndani ya Halmashauri.
35. (1) Katika kutekeleza kazi zake, Kamati ya Kituo cha Afya: (a) (b) (c) itahakikisha kuwa mahitaji ya afya ya jamii yanafanyiwa kazi; itatafuta fedha kutoka vyanzo mbalimbali ; itakuwa na daftari la usajili wa wachangiaji wa Mfuko wa Afya wa Jamii; 28 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (e) (d) na itajenga kuimarisha ushirikiano na uwiano na taasisi nyingine kwenye Halmashauri; itahakikisha kuwa Kamati ya Zahanati inawakilishwa kwenye Kamati ya Kituo cha Afya; na itahakikisha kuwa Kamati ya Kituo cha Afya inawakilishwa kwenye Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri; Timu ya Uendeshaji Huduma za Afya ya Halmashauri itatoa ushauri wa kitaalamu kwa Kamati ya Kituo cha Afya. (f) (2) - 36 Verify source ↗
Kutakuwa na Kamati ya Afya ya Kata
AI-assisted research summary: A Ward Health Committee is established.
36. Kutakuwa na Kamati ya Afya ya Kata. Kamati ya Afya ya Kata Sura ya 409, 29 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Wajumbe wa Kamati Sura - 37 Verify source ↗
Section 37
AI-assisted research summary: The Ward Health Committee is made up of specified local officials and representatives, and its chair is chosen from among those members.
37. (1) Kamati ya Afya ya Kata itakuwa na wajumbe wafuatao:- (a) Diwani anayewakilisha kata husika; (b) Afisa Mtendaji wa Kata; (c) Mwalimu Mkuu mmoja kutoka kwenye shule ya msingi iliyopo kwenye Makao Makuu ya kata husika; (d) Wajumbe wawili wanaoiwakilisha jamii husika ambapo mmoja wao ni lazima awe mwanamke; (e) Tabibu wa Afya Mfawidhi au Tabibu Mfawidhi Msaidizi; wa kituo cha Afya, ambaye atakuwa Katibu wa Kamati; (f) mjumbe mmoja atakayeteuliwa na Kamati ya na watu Maendeleo waliopendekezwa na serikali za mtaa zilizomo ndani ya eneo la kata; na ya Kata kutokana (g) Mjumbe mmoja atakayeteuliwa na Kamati ya Maendeleo ya Kata kutoka kwenye vyama vya kijamii vilivyomo kwenye kata. (2) Mwenyekiti wa Kamati ya Afya ya Kata atachaguliwa kutoka miongoni mwa wajumbe hapo juu. 30 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (3) Endapo Kamati ya Afya ya Kata itashindwa kutekeleza kazi zake, Halmashauri itatoa onyo au kuivunja na kufanya utaratibu wa uchaguzi wa wajumbe wengine katika muda usiozidi miezi mitatu. Sifa za Wajumbe wa Kamati ya Afya ya Kata 38 Sifa za Wajumbe wa Kamati ya Afya Kata zitakuwa ni kama zifuatavyo:- (a) awe raia wa Tanzania, sharti hili haliwahusu wajumbe kutoka mashirika yanayotoa huduma za afya yasiyo ya kiserikali. (b) awe na umri wa miaka ishirini na moja na kuendelea. (c) awe na akili timamu (d) awe na elimu ya msingi au zaidi na ajue kusoma na kuandika . (e) asiwe amewahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai. (f) asiwe na wadhifa wa kisiasa toka chama chochote cha siasa 31 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Kazi na majukumu ya Kamati - 39 Verify source ↗
Section 39
AI-assisted research summary: Kata Health Committee must mobilize the community for the Community Health Fund, manage its work, and meet every three months; the secretary must issue a written notice/report one week before the meeting.
39. (1) Kamati ya Afya ya Kata itakuwa na majukumu yafuatayo:- (a) kuwahamasisha na kuandaa jamii kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii; (b) kuandaa orodha na kuratibu idadi ya wajumbe wa Mfuko wa Afya ya Jamii; (c) kusimamia ukusanyaji wa michango ya Mfuko; (d) kuratibu viwango vya uchangiaji kwenye huduma za afya; (e) kupitia utendaji wa Mfuko wa Afya ya Jamii na kutoa mapendekezo na ufumbuzi; (f) kuanzisha na kuratibu mipango ya Afya ya Jamii; na (g) kuendesha mikutano ya wajumbe wa Mfuko wa Afya ya Jamii.; (2) Kamati ya Afya ya Kata, itakaa kila baada ya miezi mitatu, na katibu atatoa taarifa ya maandishi wiki moja kabla ya siku ya Kikao. (3) Wajumbe wa Kamati ya Afya ya Kata watakaa madarakani kwa kipindi cha miaka mitatu lakini anaweza kuchaguliwa tena kwa kipindi cha miaka mitatu na isiyozidi vipindi viwili. Kamati ya zahanati 40 Kutakuwa na kamati ya Zahanati. 32 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Wajumbe wa Kamati ya Zahanati 41 (1) Kamati ya Zahanati itakuwa na wajumbe wafuatao:- (a) wajumbe wa kuchaguliwa ambao watapiga kura:- (i) (ii) jamii inayohudumiwa wajumbe watatu kutoka miongoni mwa na zahanati husika; mjumbe mmoja atakayewakilisha taasisi inayotoa huduma za afya bila faida; (iii) mjumbe mmoja atakayewakilisha taasisi inayotoa huduma ya afya kwa faida; (b) Kutakuwa na Sekretarieti ambayo itakuwa na wajumbe wafuatao:- (i) Mtaalam mmoja kutoka kwenye Kamati ya Maendeleo ya Kata; (ii) Mwakilishi mmoja kutoka kwenye Kamati ya Serikali ya Mtaa; (iii) Mganga mfawidhi wa zahanati ambaye atakuwa Katibu, pale ambako kutakuwa na Zahanati zaidi ya moja, kutakuwa na utaratibu wa kupeana zamu; Idadi ya wajumbe wanawake si chini ya theluthi moja ya wajumbe wote. Mwenyekiti wa Kamati ya Zahanati atachaguliwa kutoka miongoni mwa wajumbe walioelezwa kwenye kifungu kidogo cha (1) cha kifungu hiki. 33 (2) (3) Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (4) Wajumbe wa Sekretariati hawatakuwa na haki ya kupiga kura. 42 (1) Taratibu za kuwapata wajumbe na muda wa kukaa madarakani Wajumbe wa Kamati watachaguliwa ufuatao:- kwa ya Zahanati utaratibu kufuata (a) Afisa Mtendaji wa Kata atatangaza nafasi wazi; (b) mapendekezo ya majina ya wagombea yatawasilishwa kwenye Timu ya Wataalamu ambapo yatachanganuliwa kabla ya kuwasilishwa kwenye Kamati ya Maendeleo ya Kata; na Kata ya (2) Vikao vya Kamati ya Zahanati 43 (1) (c) Kamati ya Maendeleo ya Kata itapendekeza majina ya wajumbe na kuyawasilisha kwenye Halmashauri kupitia kwenye Bodi ili kuidhinishwa. Wajumbe wa Kamati ya Zahanati watashika madaraka kwa kipindi cha miaka mitatu, isipokuwa kwa wajumbe ambao watashika nafasi zao kwa kupokezana, ambao watakaa kwa mwaka mmoja. Wajumbe wengine wanaweza kuchaguliwa tena kwa kipindi kingine cha miaka mitatu na isiyozidi vipindi viwili. Kamati ya Zahanati itafanya vikao vyake vya kawaida kila baada ya miezi mitatu isipokuwa kunaweza kukafanyika kikao cha dharura kama itahitajika. 34 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (2) (3) Akidi ya mkutano itakuwa ni nusu ya wajumbe wote wa kuchaguliwa ikiwa ni pamoja na Mwenyekiti na Katibu. Taarifa ya Kikao itatolewa kwa maandishi na Katibu, wiki moja kabla ya siku ya kikao. Sifa za Wajumbe 44 Mjumbe wa Kamati ya Zahanati anatakiwa kuwa na sifa zifuatazo: (a) awe raia wa Tanzania, sharti la uraia halitawahusu wajumbe wanaotoka katika mashirika yasiyo ya kiserikali. (b) (c) (d) (e) (f) (g) awe na umri wa miaka ishirini na moja na kuendelea awe na elimu ya msingi au zaidi na anajua kusoma na kuandika anawakilisha watumiaji wa zahanati ; awe na akili timamu asiwe amewahi kutiwa hatiani kwa kosa lolote la jinai. asiwe na wadhifa wa kisiasa kutoka chama chochote cha siasa. Kazi na majukumu ya Kamati ya Zahanati - 45 Verify source ↗
Section 45
AI-assisted research summary: Kamati ya Zahanati lazima itekeleze majukumu yake ya kusimamia huduma za afya za zahanati na kuripoti kwa Bodi ya Afya ya Halmashauri.
45. (1). Kamati ya Zahanati itakuwa na kazi na majukumu yafuatayo:- (a) (b) itahakikisha kuwa jamii kwenye eneo lake inapata huduma bora na rahisi za afya; itapokea, mipango na bajeti ya zahanati; itajadili na kupitisha 35 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (c) (d) (e) (f) (g) (h) (i) itatafuta na kubainisha vyanzo vya mapato ya kuendeshea huduma za Afya kwenye zahanati; itashirikiana na kamati nyingine za afya na mashirika katika utoaji na uboreshaji wa huduma za afya; itaendeleza miundombinu endelevu ya afya na mgao wa uhakika wa mahitaji muhimu; itashauri na kupendekeza kuhusu masuala ya watumishi yanayohusu ajira, mafunzo, mgawanyo na motisha; itasaidia na kuiwezesha Timu ya Uendeshaji ya Zahanati kupanga na kusimamia shughuli mbalimbali za jamii katika eneo lake kwa kuzingatia Mipango ya Maendeleo ya Kata; itawasilisha mipango yake ya robo mwaka, nusu mwaka na ya mwaka mzima kwenye Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri; na itafanya mambo mengine muhimu kama itakavyoagizwa na Kamati ya Maendeleo ya Kata. Kamati ya Zahanati itawajibika kwa Bodi ya Afya ya Halmashauri. 36 (2) Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) Uhusiano na Sekta nyingine - 46 Verify source ↗
Section 46
AI-assisted research summary: Kamati lazima ishirikiane na sekta nyingine ili kuhakikisha uwakilishi, ushauri wa kitaalamu, na ushirikiano wa kutafuta mapato na kuimarisha huduma.
46. Ili kuboresha utendaji wa kazi, Kamati itakuwa na mahusiano na sekta nyingine kama ifuatavyo:- itahakikisha kuwa Jamii (a) inawakilishwa na wajumbe kwenye Kamati ya Zahanati ili kuhakikisha jamii yanashughulikiwa; mahitaji kuwa ya (b) itapewa ushauri wa kitaalamu na Timu ya Uendeshaji wa Huduma ya Afya ya Halmashauri; (c) itawakilishwa kwenye Kamati ya Kituo cha Afya kwa mtindo wa kupokezana ili kuhakikisha kuwa mambo ya Zahanati yanazingatiwa; na (d) Itashirikiana na wadau wengine kwa kutafuta mapato, kujenga na kuimarisha ushirikiano. Mapato ya Zahanati - 47 Verify source ↗
Section 47
AI-assisted research summary: Kifungu hiki kinaorodhesha vyanzo vya mapato ya Kamati ya Zahanati na kusema mapato mengine ya zahanati yahifadhiwe kwenye akaunti ya zahanati na yasimamiwe na Mganga Mfawidhi, huku Bodi ikiwa na uwezo wa kukagua.
47. (1) Vyanzo vya mapato ya Kamati ya Zahanati vitakuwa kama ifuatavyo:- (a) Michango ya jamii; (b) Mfuko wa Afya ya Jamii; (Tiba kwa Kadi) (c) Ruzuku kutoka Halmashauri; (d) Wahisani na washirika; (e) (f) Ruzuku kutoka Serikali Kuu, Mfuko wa Bima ya Afya, 37 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) (g) Gharama ya dawa/Vifaa tiba kwa asilimia hamsini (50%) (h) Vyanzo vingine halali vya mapato. (2) Bila kuathiri kifungu kidogo cha 1(b) ambacho mapato yake yanasimamiwa na Bodi ya Mfuko wa Afya ya Jamii, mapato mengineyo ya Zahanati yatahifadhiwa katika Akaunti ya zahanati na kusimamiwa na Mganga Mfawidhi wa Zahanati. Bodi kuwa na a uwezo wa kukagua - 48 Verify source ↗
Section 48
AI-assisted research summary: Bodi ina mamlaka ya kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa huduma za afya zinazotolewa ndani ya eneo la Halmashauri, kupitia Halmashauri.
48. Bodi, kupitia Halmashauri, itakuwa na madaraka ya kufanya ukaguzi wa mara kwa mara wa huduma za afya zinazotolewa kwenye eneo la Halmashauri. Makosa - 49 Verify source ↗
Section 49
AI-assisted research summary: A person commits an offence if they breach the official instrument, hinder the Board/Committee/Team, misuse Board or Committee assets and resources, or fail to perform their duties under the instrument.
49. Itakuwa ni makosa kwa mtu yeyote ambaye;:- (a) (b) (c ) atakwenda kinyume na masharti ya Hati Rasmi hii; au atafanya kitendo chochote ambacho kitazuia Bodi, Kamati au Timu yoyote kufanya kazi zake kwa ufanisi; au atatumia vibaya mali na rasilimali za Bodi au Kamati na kusababisha kutofikia 38 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) malengo ya Bodi; au (d) atashindwa kwa kutekeleza wajibu wake kwa mujibu wa Hati Rasmi hii, Adhabu - 50 Verify source ↗
Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na masharti ya
AI-assisted research summary: Anyone who acts contrary to these by-laws commits an offence and may be fined up to 300,000 shillings, imprisoned for up to 12 months, or both.
50. Mtu yeyote atakayekwenda kinyume na masharti ya Sheria Ndogo hizi atakuwa ametenda kosa na akipatikana na hatia atatozwa faini isiyozidi shilingi laki tatu (300,000/=) au kifungo kisichozidi miezi kumi na mbili au vyote kwa pamoja yaani faini na kifungo. Nembo ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele imebandikwa katika Sheria hizi Ndogo kutokana na Azimio la kikao cha Halmashauri ya Wilaya ya Mlele kilichoketi tarehe 17 mwezi 07 mwaka 2015 na lakiri imebandikwa mbele ya:- GODWIN L. BENNE, Mkurugenzi (W), Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. DUES J. BUNDALA, Mwenyekiti Halmashauri ya Wilaya ya Mlele. NAKUBALI, Dodoma, 09 Januari, 2017 GEORGE B. SIMBACHAWENE (MB) Waziri wanchi-or-Tamisemi. 39 Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya) za Halmashauri ya Wilaya ya Mlele Tangazo la Serikali Na.30 (Linaendelea) 40
Provision text is displayed from LexChat’s stored statute record. Use the official source links to verify amendments, commencement, and current legal force.
Ask AI about this statute
Hati Rasmi (Uanzishaji wa Bodi ya Huduma za Afya ya Halmashauri) ya Halmashauri ya Wilaya ya Mlele, 2017
Sign in to ask AI about this statute
Sign in to start authenticated, citation-grounded statute research.
Sign in